Kutoka 8:22 BHN

22 Lakini siku hiyo sehemu ya Gosheni wanakoishi watu wangu nitaikinga: Humo nzi hao hawatakuwamo. Hapo ndipo utakapotambua kwamba mimi Mwenyezi-Mungu natenda mambo nchini mwako.

Kusoma sura kamili Kutoka 8

Mtazamo Kutoka 8:22 katika mazingira