4 Kwa hiyo, Abramu akaondoka kama Mwenyezi-Mungu alivyomwamuru; na Loti akaenda pamoja naye. Abramu alikuwa na umri wa miaka 75 alipotoka Harani.
Kusoma sura kamili Mwanzo 12
Mtazamo Mwanzo 12:4 katika mazingira