Mwanzo 19:28 BHN

28 Akiwa hapo, akatazama chini pande za Sodoma na Gomora na eneo lote la bondeni, akashangaa kuona moshi ukipanda, moshi kama wa tanuri kubwa.

Kusoma sura kamili Mwanzo 19

Mtazamo Mwanzo 19:28 katika mazingira