Mwanzo 19:33 BHN

33 Usiku huo wakamlevya baba yao kwa divai, na yule binti wa kwanza akaenda akalala naye. Lakini baba yake hakujua wakati bintiye alipolala naye, wala alipoondoka.

Kusoma sura kamili Mwanzo 19

Mtazamo Mwanzo 19:33 katika mazingira