Mwanzo 30:1 BHN

1 Raheli alipoona kwamba hajamzalia Yakobo watoto, alimwonea wivu Lea, dada yake, akamwambia Yakobo, “Nipatie watoto, la sivyo, nitakufa.”

Kusoma sura kamili Mwanzo 30

Mtazamo Mwanzo 30:1 katika mazingira