Mwanzo 30:20 BHN

20 Akasema, “Mungu amenipa zawadi bora. Sasa mume wangu ataniheshimu kwa maana nimemzalia watoto sita wa kiume.” Kwa hiyo akamwita mtoto huyo Zebuluni.

Kusoma sura kamili Mwanzo 30

Mtazamo Mwanzo 30:20 katika mazingira