Mwanzo 31:21 BHN

21 Basi, Yakobo akachukua mali yake yote, akatoroka. Baada ya kuvuka mto Eufrate, alielekea Gileadi, nchi ya milima.

Kusoma sura kamili Mwanzo 31

Mtazamo Mwanzo 31:21 katika mazingira