Mwanzo 37:17 BHN

17 Yule mtu akamwambia, “Bila shaka wamekwisha ondoka, kwa sababu niliwasikia wakisema kwamba wanakwenda Dothani.” Basi, Yosefu akawafuata ndugu zake, akawakuta huko Dothani.

Kusoma sura kamili Mwanzo 37

Mtazamo Mwanzo 37:17 katika mazingira