23 Tena alimpelekea baba yake zawadi hizi kwa ajili ya safari yake: Punda kumi waliobeba bidhaa bora za Misri, punda jike kumi waliobeba nafaka, mikate na vyakula vingine.
Kusoma sura kamili Mwanzo 45
Mtazamo Mwanzo 45:23 katika mazingira