29 Yosefu akapanda gari lake la farasi, akaenda kumlaki Israeli, baba yake, huko Gosheni. Alipomfikia baba yake, alimkumbatia na kulia kwa kitambo kirefu.
Kusoma sura kamili Mwanzo 46
Mtazamo Mwanzo 46:29 katika mazingira