Mwanzo 50:11 BHN

11 Wakanaani wenyeji wa nchi hiyo, walipoyaona maombolezo yaliyofanywa kwenye uwanja wa kupuria nafaka wa Atadi, wakasema, “Maombolezo haya ya Wamisri, kweli ni makubwa!” Kwa hiyo, mahali pale pakaitwa Abel-misri, napo pako ngambo ya mto Yordani.

Kusoma sura kamili Mwanzo 50

Mtazamo Mwanzo 50:11 katika mazingira