Mwanzo 50:17 BHN

17 ‘Mwambieni Yosefu kwa niaba yangu: Tafadhali uwasamehe ndugu zako makosa yao mabaya na maovu yote waliyokutendea.’ Sasa basi, tafadhali usamehe uovu tuliokutendea sisi watumishi wa Mungu wa baba yako.” Yosefu alipopata ujumbe huu, alilia.

Kusoma sura kamili Mwanzo 50

Mtazamo Mwanzo 50:17 katika mazingira