Mwanzo 7:23 BHN

23 Mungu akaangamiza kila kiumbe kilichokuwa hai duniani: Binadamu, wanyama, viumbe vitambaavyo na ndege wa angani. Vyote viliangamizwa duniani. Noa tu ndiye aliyesalimika na wale waliokuwa pamoja naye ndani ya safina.

Kusoma sura kamili Mwanzo 7

Mtazamo Mwanzo 7:23 katika mazingira