13 Nikitazamia kuzimu kuwa nyumba yangu;Nikitandika malazi yangu gizani;
14 Ikiwa nimeuita uharibifu, Wewe u baba yangu;Na kuliambia buu, Wewe u mama yangu, na umbu langu;
15 Basi, tumaini langu li wapi?Na tumaini langu, ni nani atakayeliona?
16 Litashuka kwenye makomeo ya kuzimu,Itakapokuwapo raha mavumbini.