1 Tena Elihu akaendelea na kusema,
2 Ningojee kidogo nami nitakueleza;Kwa kuwa nikali na maneno kwa ajili ya Mungu.
3 Nitayaleta maarifa yangu kutoka mbali,Nami nitampa haki Muumba wangu.
4 Kwani yakini maneno yangu si ya uongo;Aliyekamilika katika maarifa yu pamoja nawe.