1 Maana BWANA atamhurumia Yakobo, atamchagua Israeli tena, naye atawaweka katika nchi yao wenyewe; na mgeni atajiunga nao, nao wataambatana na nyumba ya Yakobo.
Kusoma sura kamili Isa. 14
Mtazamo Isa. 14:1 katika mazingira