Isa. 33:15 SUV

15 Ni yeye aendaye kwa haki, anenaye maneno ya adili; ni yeye anayedharau faida ipatikanayo kwa dhuluma; akung’utaye mikono yake asipokee rushwa; azibaye masikio yake asisikie habari za damu; afumbaye macho yake asitazame uovu.

Kusoma sura kamili Isa. 33

Mtazamo Isa. 33:15 katika mazingira