Isa. 36:7 SUV

7 Lakini ukiniambia, Tunamtumaini BWANA, Mungu wetu, je! Si yeye ambaye Hezekia ameondoa mahali pake mlimoinuka, na madhabahu zake, akawaambia watu wa Yuda na Yerusalemu, Sujuduni mbele ya madhabahu hii?

Kusoma sura kamili Isa. 36

Mtazamo Isa. 36:7 katika mazingira