Isa. 37:38 SUV

38 Ikawa alipokuwa akiabudu katika nyumba ya Nisroki, mungu wake, Adrameleki na Shareza, wanawe, wakampiga kwa upanga; wakakimbilia nchi ya Ararati; naye Esar-hadoni, mwanawe, akamiliki badala yake.

Kusoma sura kamili Isa. 37

Mtazamo Isa. 37:38 katika mazingira