Isa. 38:1 SUV

1 Siku hizo Hezekia aliugua, akawa katika hatari ya kufa; na Isaya nabii, mwana wa Amozi, akaenda kwa mfalme, akamwambia, BWANA asema hivi, Tengeneza mambo ya nyumba yako; maana utakufa, wala hutapona.

Kusoma sura kamili Isa. 38

Mtazamo Isa. 38:1 katika mazingira