1 Haya, shuka, keti mavumbini,Ewe bikira, binti Babeli;Keti chini pasipo kiti cha enzi,Ewe binti wa Wakaldayo;Maana hutaitwa tena mwororo, mpenda anasa.
Kusoma sura kamili Isa. 47
Mtazamo Isa. 47:1 katika mazingira