Isa. 53:12 SUV

12 Kwa hiyo nitamgawia sehemu pamoja na wakuu,Naye atagawanya nyara pamoja nao walio hodari;Kwa sababu alimwaga nafsi yake hata kufa,Akahesabiwa pamoja na hao wakosao.Walakini alichukua dhambi za watu wengi,Na kuwaombea wakosaji.

Kusoma sura kamili Isa. 53

Mtazamo Isa. 53:12 katika mazingira