Isa. 65:25 SUV

25 Mbwa-mwitu na mwana-kondoo watalisha pamoja, na simba atakula majani kama ng’ombe; na mavumbi yatakuwa chakula cha nyoka. Hawatadhuru wala kuharibu katika mlima wangu mtakatifu wote, asema BWANA.

Kusoma sura kamili Isa. 65

Mtazamo Isa. 65:25 katika mazingira