Ezekieli 13:5 BHN

5 Hawakwenda kulinda sehemu zile za kuta zilizobomoka wala hawajengi kuta mpya ili Waisraeli waweze kujilinda wakati wa vita siku ile ambayo mimi Mwenyezi-Mungu nimeiweka.

Kusoma sura kamili Ezekieli 13

Mtazamo Ezekieli 13:5 katika mazingira