Ezekieli 16:5 BHN

5 Hakuna aliyekuonea huruma na kukufanyia mambo hayo. Hakuna aliyekupenda. Bali, siku ile ulipozaliwa, ulitupwa huko mashambani kwa sababu siku ulipozaliwa ulichukiza sana.

Kusoma sura kamili Ezekieli 16

Mtazamo Ezekieli 16:5 katika mazingira