Ezekieli 20:39 BHN

39 “Na sasa, enyi Waisraeli, mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nawaambia hivi: Haya! Endeleeni kuziabudu sanamu zenu za miungu, kama hamnisikilizi; lakini mtalazimika kuacha kulikufuru jina langu takatifu kwa tambiko na sanamu zenu.

Kusoma sura kamili Ezekieli 20

Mtazamo Ezekieli 20:39 katika mazingira