Ezekieli 24:6 BHN

6 “Basi, mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Ole wake mji wa mauaji! Mji huo ni kama chungu chenye kutu, ambacho kutu yake haiwezi kutoka! Vipande vya nyama ndani yake hutolewa kimojakimoja bila kuchaguliwa.

Kusoma sura kamili Ezekieli 24

Mtazamo Ezekieli 24:6 katika mazingira