Ezekieli 26:7 BHN

7 “Mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Kutoka kaskazini nitamleta Nebukadneza, mfalme wa Babuloni, mfalme wa wafalme, akiwa na farasi, magari ya vita, wapandafarasi na jeshi kubwa, aje kukushambulia.

Kusoma sura kamili Ezekieli 26

Mtazamo Ezekieli 26:7 katika mazingira