Ezekieli 32:16 BHN

16 “Huo ndio utenzi wa maombolezo,wanawake wa mataifa watauimba,wataimba juu ya Misri na watu wake wote.Mimi Bwana Mwenyezi-Mungu, nimesema.”

Kusoma sura kamili Ezekieli 32

Mtazamo Ezekieli 32:16 katika mazingira