Ezekieli 32:21 BHN

21 Wakuu wenye nguvu pamoja na wasaidizi wao wakiwa huko shimoni kwa wafu watasema hivi: ‘Wamisri wameshuka chini kwa wafu, wanalala pamoja na watu wasiomjua Mungu, waliouawa vitani.’

Kusoma sura kamili Ezekieli 32

Mtazamo Ezekieli 32:21 katika mazingira