Ezekieli 39:25 BHN

25 “Kwa hiyo mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Sasa nitawahurumia Waisraeli wazawa wa Yakobo, na kuwarudishia fanaka yao. Daima nataka jina langu takatifu liheshimiwe.

Kusoma sura kamili Ezekieli 39

Mtazamo Ezekieli 39:25 katika mazingira