Ezekieli 40:37 BHN

37 Ule ukumbi wa kuingilia ulikuwa mkabala na ua wa nje; kulikuwa na mitende imechorwa kwenye kuta za hiyo nafasi ya kupitia. Pia kulikuwa na ngazi nane za kupandia kuelekea kwenye lango hili.

Kusoma sura kamili Ezekieli 40

Mtazamo Ezekieli 40:37 katika mazingira