Ezekieli 44:15 BHN

15 “Lakini makuhani wa kabila la Lawi ambao ni wazawa wa Sadoki walioendeleza kazi yangu katika patakatifu pangu, wakati Waisraeli waliponiacha, hao ndio watakaoendelea kunitumikia na kuja mbele yangu kunitolea mafuta na damu.

Kusoma sura kamili Ezekieli 44

Mtazamo Ezekieli 44:15 katika mazingira