18 Halafu, watu waliokuwa chini ya bendera ya kikosi kilichoongozwa na kabila la Reubeni, walifuata kundi moja baada ya jingine. Kiongozi wao alikuwa Elisuri mwana wa Shedeuri.
Kusoma sura kamili Hesabu 10
Mtazamo Hesabu 10:18 katika mazingira