Hesabu 11:1 BHN

1 Watu walianza kumlalamikia Mwenyezi-Mungu juu ya taabu zao. Mwenyezi-Mungu aliposikia, alishikwa na hasira, akawapelekea moto. Moto huo uliwaka kati yao na kuchoma upande mmoja wa kambi.

Kusoma sura kamili Hesabu 11

Mtazamo Hesabu 11:1 katika mazingira