Hesabu 12:6 BHN

6 Kisha Mwenyezi-Mungu akawaambia, “Sikilizeni maneno yangu: Kama kuna nabii miongoni mwenu, mimi Mwenyezi-Mungu hujifahamisha kwake katika maono na kuongea naye katika ndoto.

Kusoma sura kamili Hesabu 12

Mtazamo Hesabu 12:6 katika mazingira