11 Kabila la Yosefu (yaani kabila la Manase), Gadi mwana wa Susi.
12 Kabila la Dani, Amieli mwana wa Gemali.
13 Kabila la Asheri, Sethuri mwana wa Mikaeli.
14 Kabila la Naftali, Nabi mwana wa Wofsi.
15 Kabila la Gadi, Geueli mwana wa Maki.
16 Haya ndiyo majina ya watu ambao Mose aliwatuma kwenda kuipeleleza nchi ya Kanaani. Mose alimpa Hoshea mwana wa Nuni jina jipya, akamwita Yoshua.
17 Alipowatuma kwenda kuipeleleza nchi ya Kanaani, Mose aliwaambia: “Nendeni juu kule Negebu, hadi kwenye nchi ya milima,