Hesabu 14:13 BHN

13 Lakini Mose akamwambia Mwenyezi-Mungu, “Uliwatoa watu hawa nchini Misri kwa nguvu yako. Wamisri watakaposikia kwamba umewatenda hivyo watu wako,

Kusoma sura kamili Hesabu 14

Mtazamo Hesabu 14:13 katika mazingira