Hesabu 14:40 BHN

40 Kesho yake, waliamka alfajiri na mapema wakaenda sehemu za milimani, wakisema, “Sasa tuko tayari kabisa kwenda mahali ambapo Mwenyezi-Mungu alituahidi. Tunakiri kwamba tulitenda dhambi.”

Kusoma sura kamili Hesabu 14

Mtazamo Hesabu 14:40 katika mazingira