28 Kisha Mose alimvua Aroni mavazi yake rasmi, akamvalisha mwanawe, Eleazari. Naye Aroni akafa palepale mlimani. Kisha Mose na Eleazari wakateremka chini.
Kusoma sura kamili Hesabu 20
Mtazamo Hesabu 20:28 katika mazingira