Hesabu 25:18 BHN

18 kwa sababu waliwachokoza nyinyi kwa hila zao, wakawadanganya kuhusu jambo la Peori, na kwa sababu ya Kozbi, binti yao, aliyeuawa wakati maradhi mabaya yalipozuka kule Peori.”

Kusoma sura kamili Hesabu 25

Mtazamo Hesabu 25:18 katika mazingira