21 Kutoka kwa Peresi, familia ya Hesroni na Hamuli.
22 Hizo ndizo koo za Yuda, jumla wanaume 76,500.
23 Kabila la Isakari lilikuwa na jamaa za Tola, Puva,
24 Yashubu na wa Shimroni.
25 Hizo ndizo koo za Isakari, jumla wanaume 64,300.
26 Kabila la Zebuluni lilikuwa na jamaa za Seredi, wa Eloni na wa Yaleeli.
27 Hizo ndizo koo za Zebuluni, jumla wanaume 60,500.