Hesabu 28:2 BHN

2 “Waamuru Waisraeli ifuatavyo: Nyinyi mtanitolea kwa wakati wake tambiko zitakiwazo: Vyakula vya kuteketezwa kwa moto, vyenye harufu nzuri ya kupendeza.

Kusoma sura kamili Hesabu 28

Mtazamo Hesabu 28:2 katika mazingira