Hesabu 30:8 BHN

8 Lakini kama mume wake akisikia jambo hilo akampinga, basi huyo mumewe atabatilisha nadhiri ya mkewe na tamko lake alilotoa bila kufikiri; naye Mwenyezi-Mungu atamsamehe.

Kusoma sura kamili Hesabu 30

Mtazamo Hesabu 30:8 katika mazingira