Hesabu 31:26 BHN

26 “Wewe na kuhani Eleazari, pamoja na viongozi wa koo za jumuiya ya Waisraeli, fanyeni hesabu ya nyara ya vitu, watu na wanyama.

Kusoma sura kamili Hesabu 31

Mtazamo Hesabu 31:26 katika mazingira