Hesabu 32:33 BHN

33 Basi, Mose akawapa watu wa makabila ya Gadi na Reubeni na nusu ya kabila la Manase mwana wa Yosefu, nchi yote ya mfalme Sihoni wa Waamori na nchi ya mfalme Ogu wa Bashani pamoja na miji na maeneo yaliyokuwa kandokando ya miji hiyo.

Kusoma sura kamili Hesabu 32

Mtazamo Hesabu 32:33 katika mazingira