31 Kutoka Moserothi, walipiga kambi yao Bene-yaakani.
32 Kutoka Bene-yaakani, walipiga kambi yao Hor-hagidgadi.
33 Kutoka Hor-hagidgadi, walipiga kambi yao Yot-batha.
34 Kutoka Yot-batha, walipiga kambi yao Abrona.
35 Kutoka Abrona, walipiga kambi yao Esion-geberi.
36 Waliondoka Esion-geberi, wakasafiri na kupiga kambi yao katika jangwa la Sini, (yaani Kadeshi).
37 Kutoka Kadeshi, walipiga kambi yao mlimani Hori, mpakani mwa nchi ya Edomu.