Hesabu 33:38 BHN

38 Kwa agizo la Mwenyezi-Mungu kuhani Aroni alipanda juu ya Mlima Hori, na huko, akafariki mnamo siku ya kwanza ya mwezi wa tano, mwaka wa arubaini tangu Waisraeli walipotoka nchini Misri.

Kusoma sura kamili Hesabu 33

Mtazamo Hesabu 33:38 katika mazingira