19 Haya ndiyo majina yao:Kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune.
20 Kabila la Simeoni, Shemueli mwana wa Amihudi.
21 Kabila la Benyamini, Elidadi mwana wa Kisloni.
22 Kabila la Dani, Buki mwana wa Yogli.
23 Kabila la Manase mwanawe Yosefu, Hanieli mwana wa Efodi.
24 Kabila la Efraimu, mwanawe Yosefu, Kemueli mwana wa Shiftani.
25 Kabila la Zebuluni, Elisafani mwana wa Parnaki.