Hesabu 35:33 BHN

33 Mkifanya hivyo mtakuwa mnaitia unajisi nchi ambayo mnakaa. Umwagaji damu huitia nchi unajisi, na hakuna sadaka iwezayo kuitakasa nchi iliyofanyiwa mauaji isipokuwa kwa kumuua mwuaji huyo.

Kusoma sura kamili Hesabu 35

Mtazamo Hesabu 35:33 katika mazingira